Kumbukumbu za Kitabibu Na Taarifa zA Afya.
Kumbukumbu za Kitabibu Na Taarifa zA Afya.

Idara ya kumbukumbu za kitabibu na taarifa za Afya inatoa huduma ya kuandikisha wagonjwa, kuandaa taarifa za wagonjwa wa nje na waliolazwa, kulaza wagonjwa, kuomba vibali ya vipimo maalum pamoja na huduma maalum, kukagua kadi za bima na kujaza fomu za bima na pia kuonganisha wagonjwa na kliniki mbalimbali.

Awali Idara hii ilikua ikitumia mfumo wa kufungulia mafaili wagonjwa ili waweze kupata matibabu lakini kutokana na kasi ya teknolojia idara inaandikisha wagonjwa na kutunza taarifa zao online.

Idara ya kumbukumbu za kitabibu na taarifa za afya inahudumu sehemu tatu ambazo ni executive clinic, emergency medicine na phase one na kwa sasa idara inatarajia kutoa huduma phase two.

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more