Wodi
Wodi

WODI YA UPASUAJI NA MFUMO WA MKOJO

Wodi hizi zinapatikana jengo la pili (phase 2) katika ghorofa namba moja (first floor), Ghorofa namba moja inahusika kulaza wagonjwa wenye shida ya upasuaji na mfumo wa mkojo.

WODI YA MAGONJWA YA NDANI (WANAWAKE NA WANAUME), MAGONJWA YA FIGO, WATOTO WADOGO, MIFUPA NA MISHIPA YA FAHAMU NA SARATANI.

Wodi hizi zote zinapatikana jengo la pili ghorofa namba mbili.

WODI YA WAKINA MAMA WAJAWAZITO

Wodi ya wakina mama wajawazito nayo inapatikana jengo la pili ghorofa namba tatu.

WODI YA VIONGOZI NA WATU BINAFSI

Wodi ya viongozi na watu binafsi inapatikana jengo la pili ghorofa namba nne.

WODI YA WAGONJWA MAHUTUTI

Wodi ya wagonjwa mahututi hii ni wodi ambayo inapatikana jengo la kwanza mkabala na kliniki ya saratani ghorofa ya kwanza

WODI YA WAGONJWA MAHUTUTI WA MOYO

Wodi ya wagonjwa mahututi wa moyo nayo inapatikana jengo la kwanza ghorofa namba moja, wodi hii iko karibu na kliniki ya magonjwa ya moyo.

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more