Rekodi za Kiuuguzi

Idara ya kumbukumbu za kitabibu na taarifa za afya (medical records) ilianzishwa tarehe 13/10/2015 wakati hospitali ilipoanza kutoa huduma na ilianza na watumishi wanne.

Wakati huo idara ilikuwa ikitumia mfumo wa kufungulia mafaili wagonjwa ili waweze kupata matibabu na pia kutoa taarifa za wagonjwa waliohudumiwa kwa siku na mwezi. 

Idara inatoa huduma ya kuandikisha wagonjwa, kuandaa taarifa za wagonjwa wa nje na waliolazwa, kulaza wagonjwa, kuomba vibali ya vipimo maalum pamoja na huduma maalum, kukagua kadi za bima na kujaza fomu za bima na pia kuonganisha wagonjwa na kliniki mbalimbali.

Idara ilipoanza ilikuwa ikihudumia wagonjwa 20 kwa siku lakini sasa idara inahudumia wagonjwa 800 hadi 900 kwa siku na kulaza wagonjwa 40 hadi 50 kwa siku.

Mpaka sasa idara ina watumishi 17 ambapo watumishi 7 wameajiriwa, watumishi watano ni wa mkataba na watano wakujitolea.

The Benjamin Mkapa Medical Records Department is to maintain clear and complete medical record on every patient who visiting the hospital, admitted and discharged from the hospital, who was treated in the Emergency Department or ambulatory care units. The information is gathered from each patient encounter and is retrieved whenever necessary to enhance patient care. Furthermore, the Medical Records Department is committed to assist the medical staff and other health care professionals of the Medical Center in their duties and responsibilities to maintain timely completion and proper documentation of the patient care in the medical record.

Services

  • Receiving the Patient either a Follow- up or New case patient
  • Record the patient information to the computer system.
  • If possible take care the manual file of the patient
  • Direct the  Patient which clinic to attend.
  • Admit patient to the ward.
  • Retrieve information of patient if requested

 

 

 

Idara ya kumbukumbu za kitabibu na taarifa za afya inahudumu sehemu tatu ambazo ni executive clinic, emergency medicine na phase one na kwa sasa idara inatarajia kutoa huduma phase two.

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more