Huduma ya Upasuaji

Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianzishwa July 2022 ikiwa na idadi ya watendaji wanne, ambao ni Daktari Bingwa mmoja, Madaktari wawili na Muuguzi mmoja wa Kiliniki ya Nje.

Idara ilianza kwa kutoa huduma ya kuona wagonjwa wa nje (outpatient clinic) pamoja na Upasuaji wa Dharura wa Ubongo na Uti wa Mgongo.

Agosti 2020, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo iliongeza huduma kwa kuanza kufanya Upasuaji wa Kupangiwa (elective surgery) kwa wagonjwa waliyohitaji huduma za upasuaji katika Ubongo na Uti wa mgongo.

Septemba 2020, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilipatiwa Chumba cha Upasuaji maalumu kwa Uti wa Mgongo na Mishipa ya fahamu.

Hivyo, ikaongeza huduma mbalimbali kama vile; Upasuaji Mkubwa wa Kibingwa wa kutoa vimbe katika Ubongo na Uti wa mgongo, Upasuaji wa Mgongo kwa waliyovunjika kwa kutumia vipandikizi vya kuunga.

Juni 2021, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianzisha huduma upasuaji wa matatizo ya Ubongo kwa kutumia kamera inayopita kwenye matundu madogo (endoscopic surgery) mfano, kwa watoto wenye vichwa vikubwa, na vimbe katika ubongo.

Kliniki inayoendeshwa na Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianza kwa kuona wagonjwa 10 kwa siku, kwa sasa ina wastani wagonjwa 30 kila siku.

Hadi Januari 2022, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo inamadaktari Bigwa 2, Madktari 3, Wauguzi 3, na tangu ilipoanzishwa, idara hiyo imehudumia wagonjwa wapatao, 8347. 

Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianzishwa July 2022 ikiwa na idadi ya watendaji wanne, ambao ni Daktari Bingwa mmoja, Madaktari wawili na Muuguzi mmoja wa Kiliniki ya Nje.

Idara ilianza kwa kutoa huduma ya kuona wagonjwa wa nje (outpatient clinic) pamoja na Upasuaji wa Dharura wa Ubongo na Uti wa Mgongo.

Agosti 2020, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo iliongeza huduma kwa kuanza kufanya Upasuaji wa Kupangiwa (elective surgery) kwa wagonjwa waliyohitaji huduma za upasuaji katika Ubongo na Uti wa mgongo.

Septemba 2020, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilipatiwa Chumba cha Upasuaji maalumu kwa Uti wa Mgongo na Mishipa ya fahamu.

Hivyo, ikaongeza huduma mbalimbali kama vile; Upasuaji Mkubwa wa Kibingwa wa kutoa vimbe katika Ubongo na Uti wa mgongo, Upasuaji wa Mgongo kwa waliyovunjika kwa kutumia vipandikizi vya kuunga.

Juni 2021, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianzisha huduma upasuaji wa matatizo ya Ubongo kwa kutumia kamera inayopita kwenye matundu madogo (endoscopic surgery) mfano, kwa watoto wenye vichwa vikubwa, na vimbe katika ubongo.

Kliniki inayoendeshwa na Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo ilianza kwa kuona wagonjwa 10 kwa siku, kwa sasa ina wastani wagonjwa 30 kila siku.

Hadi Januari 2022, Idara ya Upasuaji wa Ubongo, Mishipa ya Fahamu, Uti wa Mgongo inamadaktari Bigwa 2, Madktari 3, Wauguzi 3, na tangu ilipoanzishwa, idara hiyo imehudumia wagonjwa wapatao, 8347. 

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more