SIKU YA MOYO DUNIANI - WATOTO 68 WACHUNGUZWA MOYO BMH

Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa Moyo wa Hospitali hiyo wameungana na wenzao kutoka Shirika lisilo la kiserikali la One New Heart Foundation pamoja na wengine kutoka Hospitali ya Rufaa Bugando kufanya uchunguzi na kutibu watoto wenye matatizo ya Moyo kwa siku 5.
Hakuna Taarifa kwa sasa