Afya ya Mtoto

IDARA YA TIBA NA AFYA YA MTOTO

 

HUDUMA ZITOLEWAZO

 

Tunafanya Uchunguzi, Matibabu na Ushauri kwa  watoto na vijana wa umri wa miaka 0-14.

 

1. Baadhi ya huduma za UCHUNGUZI.

 

Tunafanya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali yanayoathiri Afya ya Mtoto;

 

  1. Afya ya Lishe
  2. Uchunguzi wa Magonjwa yanayoathiri Mfumo wa hewa
  3. Uchunguzi wa Magonjwa yanayoathiri Damu na Saratani kwa watoto
  4. Uchunguzi wa Magonjwa yanayoathiri  Moyo
  5. Uchunguzi wa Magonjwa yanayoathiri Afya ya akili 

 

  1. Baadhi za huduma za MATIBABU

 

  1. Matibabu ya watoto wenye magonjwa ya Moyo
  2. Matibabu ya Magonjwa yanayoathiri  Mfumo wa Chakula
  3. Magonjwa yanaathiri watotoNjiti na waliyopata shida kutokana na changamoto za uzazi.  
  4. Matibabu ya maginjwa yahusuyo mfumo wa damu na saratani. 
  5. Tiba na Huduma wezeshi kwa watoto wenye mtindio wa Ubongo na Kifafa. 
  6. Ufuatiliaji wa makuzi na ya mtoto kuanzia anapozaliwa mpaka anapofikia umri wa barehe.

 

Idara ya Afya ya Watoto ya Hospitali ya Benjamin Mkapa inao madaktari Bingwa na Bingwa bobezi na wataamu wenye uwezo wa kumhudumia mtoto kwa viwango vya juu vya ubora kwa ngazi za kimataifa.

 

 

 

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more