Magonjwa Ya Ndani

Idara hii ya magonjwa ya ndani inasimamiwa na daktari ingwa (specialist) aitwae Gloria Ameleck Ngajiro ambaye ni phycisian mkuu wa kitengo cha magonjwa ya ndani kama vile kisukari (diabetes), shinikizo la damu (blood pressure) na ngozi (dermatology).

Ndani ya hospitali ya benjamin mkapa ina madaktari bingwa watatu wanaohusika na magonjwa ya ndani kama vile Gloria Ameleck Ngajiro (mkuu wa kitengo), Elias Vicent Mayala (daktari wa magonjwa ya ngozi) na Anthony Gyunda (phycisian)

 

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more