Elimu na Mada Tiba

Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti imegawanyika katika sehemu mbili;

 1. Uratibu wa Mafunzo na huduma mkoba, ambayo ina majukumu yafuatayo
-Kuratibu mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali.
-Kuratibu programu za huduma mkoba 
-Kuratibu programu za mafunzo maalumu kama vile kambi maalumu 
-Kuwezesha programu fupi za mafunzo kama vile Cheti cha Umahiri katika masuala ya usingizi (Anesthesia) ambayo ni kozi inayoendelea
Jukumu jingine ni
-Kuratibu mafunzo endelevu ya elimu ya matibabu (CME) vya Hospitali

2. Sehemu ya Utafiti

-Kuratibu shughuli za utafiti zinazofanyika BMH 

-Kuratibu na kutoa kibali cha utafiti wa nje uliofanywa BMH 

-Kuomba fedha zinazohusiana na utafiti 

-Kuandaa na kuhuisha sera, mikakati na miongozo inayohusiana na utafiti BMH 

- Usimamizi wa miradi ya utafiti

-Kuendeleza miundombinu ya utafiti

-Kusaidia na kusimamia wafanyakazi wa Hospitali juu ya kufanya utafiti na uchapishaji

-Kuanzisha na kudumisha maadili ya utafiti

-Kuandaa mwongozo wa ushauri  

- Kuratibu Bodi ya Ukaguzi wa Taasisi (IRB) kwa ajili ya utafiti katika BMH

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more