DR MOLLEL AWASHUKURU TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP
DR MOLLEL AWASHUKURU TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP

Kauli hiyo imeelezwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel alipokutana na uongozi wa Shirika la afya la Japan, TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP leo katika ofisi za wizara jijini Dodoma.

"Ninawashukuru kwa namna mlivyoungana na Hospitali ya Benjamin Mkapa na Chuo kikuu cha Dodoma, nchi ya Japani imekuwa ikisaidia katika sekta ya Afya hapa nchini" alisema Naibu Waziri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Alphonce Chandika ameeleza jinsi TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP ilivyo isaidia Hospitali ya Benjamin Mkapa.

"Hospitali ya Benjamin Mkapa imejengewa uwezo wa kufanya huduma ya upandikizaji figo na Shirika hili mpaka sasa tunajivunia kwa kupandikiza wenyewe hii ni kwasababu ya TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP " alisema Dkt Chandika

Aidha mwenyekiti wa wa TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP Prof. Higashiue Shinichi ameeleza jinsi walivyo pokelewa na taasisi hizi mbili UDOM na BMH

"Nasi tunashukuru kwa tulivyo pokelewa,kama tusingekubaliwa kutoa huduma hii leo tusinge kuwa hapa tukifurahia kuadhimisha miaka mitano ya upandikizaji figo" alisema Prof. Shinichi.

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more