MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA UPANDIKIZAJI FIGO BMH
MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA UPANDIKIZAJI FIGO BMH

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) leo imetimiza miaka mitano toka ilipoanzisha huduma hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali, Dkt Alphonce Chandika, wagonjwa 33 wamekwishapandikizwa figo mpaka sasa katika hospitali hii ya umma.

"Kuanzishishwa kwa huduma hapa Hospitali ya Benjamin Mkapa imesaidia Serikali kuokoa fedha za kigeni zilizotumika kwa rufaa nje ya nchi," alisena Mkurugenzi Mtendaji.

BMH ilikuwa hospitali ya pili nchini Tanzania kuanzisha huduma hiyo miaka mitano iliyopita.

Kwa mujibu wa Dkt. Chandika, BMH ilianzisha huduma kwa usaidizi kutoka Shirika la Tokushukai la nchini Japan.

Lakini, Dkt Chandika, anaongeza kuwa mwaka 2021, BMH walianza kupandikiza figo kwa kutumia wataalamu wake wazawa.

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more