Habari
KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA MOYO KUTOKA BMH YAHITIMISHWA MKOANI RUVUMA, WAGONJW...
Na Jeremia Mwakyoma SONGEA - RUVUMA, NOV. 21, 2025 Kambi ya Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto na Watu wazima kutoka Hospitali ya Benj...
Soma ZaidiBMH YAPELEKA HUDUMA ZA KIBOBEZI ZA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO NA WATU WAZIMA MK...
Na Jeremia MwakyomaIgunga, Tabora - Dec 27, 2025 Timu ya Madaktari Bingwa Wabobezi wa Moyo kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wamepiga kambi M...
Soma ZaidiBMH KUONGEZA MASHIRIKIANO NA NMB
Menejimenti ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) itaendelea kukuza mashirikiano na Benki ya NMB katika kuboresha huduma za pande zote ili kuhakikisha...
Soma ZaidiBMH KUTAFUTA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBOBEZI
Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH ) Prof Abel Makubi amemtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Bi...
Soma ZaidiWAKAZI WA MKOA WASINGIDA WANUFAIKA NA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MOYO: 26 WAPEWA R...
Na. Jeremiah Mbwambo, Dodoma, Desemba 5, 2025Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa kushirikiana na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida wameendesha kambi y...
Soma ZaidiBMH YAIBUKA NA USHINDI WA VIKOMBE VITATU SHIMMUTA 2025
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeibuka kinara baada ya kujinyakulia jumla ya vikombe vitatu katika mashindano ya SHIMMUTA yaliyomalizika leo mkoan...
Soma ZaidiKAMBI YA MATIBABU YA UPASUAJI WA MASIKIO PUA NA KOO INAYOENDESHWA NA MADAKTARI B...
Na Jeremia MwakyomaDODOMA - DISEMBA 4, 2025Akimuwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya kuzindua kambi hiyo iliyoanza Disemba mosi na itakayokwenda ha...
Soma ZaidiHOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA KWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI U...
Na Jeremia Mwakyoma DODOMA - DISEMBA 2, 2025 Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Shirika la Hands...
Soma ZaidiKAMSHNA TUME YA UTUMISHI WA UMMA AIPONGEZA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA KWA KUTOA...
Na. Jeremiah Mbwambo, Dodoma, 20/11/2025 Kamishna tume ya utumishi wa umma Bw. Hassan Kitenge ameyasema hayo alipokuwa akifungua Kikao cha Ukaguzi wa...
Soma ZaidiMkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa aanza kufanya tathimini ya kila...
Na. Jeremiah Mbwambo, Dodoma 19/11/2025 Leo Mkurugenzi Mtendaji Prof. Abel Makubi ameanza kutembelea ofisi za wakurugenzi wake ili kufanya majadilian...
Soma ZaidiHOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA YA ANZA MATIBABU YA KUONDOA MAUMIVU SUGU YA MGONGO B...
Na. Jeremiah Mbwambo, Dodoma, 19/11/2025 Daktari Bingwa wa Ubongo na mishipa ya fahamu Hospitali ya Benjamin Mkapa Maxgama Ndosi ameeleza kuwa matibab...
Soma ZaidiKAMBI MAALUM YA MADAKTARI BINGWA WA MOYO KUTOKA BMH YAZINDULIWA MKOANI RUVUMA
Na Jeremia Mwakyoma SONGEA, RUVUMA - NOVEMBA 17, 2025 Kambi Maalum ya Madaktari Bingwa Wabobezi wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto na Watu wazima kutoka H...
Soma Zaidi