Hematolojia

Huduma Tunazotoa

  1. Utoaji wa huduma maalum kwa wagonjwa wa nje na wagonjwa wa ndani, katika hali zinazohusiana na damu ikiwa na pamoja na Saratani kama Leukemias na Lymphoma na hali isiyo ya saratani kama ugonjwa wa seli mundu na upungufu wa damu na aina nyingine za upungufu wa damu unaosababishwa na upungufu wa lishe
  2. Utoaji wa uchunguzi maalum ikiwa ni pamoja na utaratibu wa uchunguzi wa Uboho, usindikaji na tafsiri na utaratibu wa Trephoine Biopsy 
  3. Kliniki ya Huduma ya Siku kwa wagonjwa ambao ni wategemezi wa Kuongezewa damu inayosababishwa na magonjwa anuwai ya Uboho kama vile Myelodysplastic Syndrome na Anemia ya Aplastiki

Ratiba

Kliniki ya Wagonjwa wa Nje

Jumatatu na Alhamisi kuaniza saa 2:30 asubuhi mpaka saa 8:00 mchana

Wagonjwa wa ndani ni kila siku

Vipimo maalum kama vile BMA (Biopsy ya Uboho na Aspiration)

Ijumaa kuanzia saa 2:30 asubuhi mpaka saa 8:00 mchana

Kliniki za Siku

Jumanne kuanzia saa 2:30 asubuhi mpaka saa 8:00 mchana

Dondoo za Afya na Habari
Kula Mlo Kamili
Kula Mlo Kamili

Eat a combination of different foods, including fruit, vegetables, legumes, nuts and whole grains. A...

  View more
Usivute Sigara
Usivute Sigara

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya mapafu yako, uvutaji wa sigara unaweza sababisha matatizo ya...

  View more
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta
Punguza Vyakula vyenye mafuta mafuta

Fats consumed should be less than 30% of your total energy intake. This will help prevent unhealthy...

  View more
Kuendesha Gari.
Kuendesha Gari.

Unashauriwa kutokuendesha gari kila siku na wakati mwingine unatakiwa kutembea walau miguu yako na m...

  View more
Epuka ulevi wa Pombe
Epuka ulevi wa Pombe

There is no safe level for drinking alcohol. Consuming alcohol can lead to health problems such...

  View more